About the Journal

CHAMA CHA KISWAHILI AFRIKA MASHARIKI (CHAKAMA)

Chama cha Kiswahili Afrika Mashariki (CHAKAMA) ni chama cha wahadhiri wa Kiswahili wa vyuo vikuu katika ukanda wa Afrika Mashariki. Chama hiki kilizinduliwa tarehe 7 Julai mwaka 2002 na wajumbe wa warsha ya wataalamu wa Kiswahili wa vyuo vikuu vya Afrika Mashariki wakati wa mkutano uliofanyika katika Hoteli ya Eland, Arusha, Tanzania.

Current Issue

Vol. 1 No. 1 (2022): CHAKAMA
CHAKAMA
Published: 2022-04-12

Journals

View All Issues